Kuangaliwa upya ufaulu wa kuJiunga Chuo kikuu.

Kuanzishwa Kwa ufaulu mpya inabidi uangaliwe upya. Kwani utaathiri watu wengi wenye nia ya kuendelea na masomo. Watanzania wengi including mimi tumesoma, na wanasoma Katika mazingira magumu sana ambayo mengine yameathiri au yanaathiri na kupunguza kiwango Cha ufaulu, Yaani Kama ilikuwa upate first Class unajikuta unapata upper second class na kuendelelea.na Kwa wale wenye uwezo unakuta akiwa shule yeye kila kitu anapata hakuna anachowaza ufaulu wake lazima uwe tofauti na mtoto wa masikini.sasa mnapo mkataa mtu aliyepata G.P.A 3.0 bila ya kuweka alternative mnataka aende wapi?je hamuoni mnacreate taifa la watu Hapo baadae wanaweza kuanzisha tabia Za ajabu? ukikatisha au ukazimisha ndoto za mtu mnategemea inakuwaje?mtu amepata division three unapomnyima nasafi ya kuendelea mnataka aendelee wapi? Binadamu wamegawanyika Katika makundi matatu kiakili. Kundi la juu, kundi la kati na kundi la mwisho.sasa mnapoweka kundi la juu peke yake Ndio wasome na kundi la kati na la mwisho na Ndio ambao NI wengi baada ya miaka 10-20 nchi yetu itakuwa katika wakati gani? Tafadhali tunaomba mliangalie upya kwaajili ya maisha yetu ya baadae.
Sign Petition
Sign Petition
You have JavaScript disabled. Without it, our site might not function properly.

Privacy Policy

By signing, you accept Care2's Terms of Service.
You can unsub at any time here.

Having problems signing this? Let us know.